Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti Jumatatu kuwa nchi tano za Afrika Mashariki na Kusini zinakabiliwa na milipuko ya ugonjwa wa bakteria wa kimeta (anthrax). Zaidi ya visa 1,100 vya maambukizi, ...
Shirika la uhifadhi wa mazingira nchini Congo, ICCN, limetoa tahadhari juu ya kusambaa kwa ugonjwa mpya unaoathiri wanyama aina ya viboko katika mbuga ya virunga huko kivu kaskazini. Shirika hilo la ...